| término | definición | |||
|---|---|---|---|---|
|
moja kwa moja
|
||||
|
Ijumaa iliyopita, Hamisi alisoma sana. Moja kwa moja, alielewa masomo yake.
|
||||
|
mwanzoe, ... mwishoe
|
||||
|
Mwanzoe, Hamisi alisoma kitabu. Mwishoe, alitazama mpira.
|
||||
|
Baada ya kusoma kitabu, Hamisi alitazama mpira.
|
||||
|
baada ya hapo
|
||||
|
Hamisi alisoma kitabu. Baada ya hapo, alitazama mpira.
|
||||
|
baadaye
|
||||
|
Hamisi alisoma kitabu. Baadaye, alitazama mpira.
|
||||
|
halafu
|
||||
|
Hamisi alisoma kitabu. Halafu, alitazama mpira.
|
||||
|
kisha
|
||||
|
Hamisi alisoma kitabu. Kisha akatazama mpira.
|
||||
|
Kabla ya kutazama mpira, Hamisi alisoma kitabu.
|
||||
|
kabla ya hapo
|
||||
|
Hamisi alitazama mpira. Kabla ya hapo, alisoma kitabu.
|
||||
|
kuanzia hapo
|
||||
|
Hamisi alishindwa mtihani. Kuanzia hapo, alisoma sana akaelewa kila kitu.
|
||||
|
mpaka hapo
|
||||
|
tangu Ijumaa iliyopita, Hamisi alisoma sana. Mpaka hapo, alikuwa akitazama mpira.
|
||||
|
mpaka sasa
|
||||
|
hadi sasa
|
||||
|
mpaka sasa, Hamisi alipenda sana kusoma.
|
||||
|
hatua kwa hatua
|
||||
|
Hatua kwa hatua, Hamisi akasoma vitabu vyote maktabani.
|
||||
|
polepole
|
||||
|
Polepole, Hamisi alishika kitabu na kuanza kusoma.
|
||||